ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 24, 2013

HARUSI ZA NIGERIA ZAGEUKA KUWA SEHEMU YA UTALII WENGI WAMEKUWA WAKITINGA NCHINI HUMO KUSHUHUDIA

Harusi za Nigeria ni moja kati ya sherehe zinazofana sana barani Afrika kutokana na mpangilio wa muonekano sambamba na ubunifu katika mavazi.
Kila mmoja hujituma katika kufanikisha sherehe ya harusi ndiyo sababu huwa bombaa..
Kila kukicha vihusishi kama keki huwa ni vya style ya aina kwa aina.
Sare ni moja kati ya misingi inayozingatiwa.

Ni taswira ambazo huto choka kuziangalia.
Heshima katika sare na wenye sare.
Rangi hupendezesha mazingira kuwa na mwonekano wa mvuto zaidi.
Chekshia kuanzia style ya nguo ushonaji, maua walobeba hadi style za nywele.

Hapa je..
Safi.

Utaipenda.
Hizi ndizo sababu zinazofanya taifa la Nigeria kuwa na nyongeza nyingine katika utalii na sasa wageni wana miminika nchini humo kushuhudia yanayojiri zikiwemo tamaduni ambazo zimeenziwa kwa miaka dahari sasa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.