ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 24, 2013

WIKI YA UTALII KITAIFA YAZINDULIWA JIJINI MWANZA

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akizungumza na wananchi waliojitokeza leo kwenye uzinduzi wa wiki ya utalii ambapo kitaifa maonesho yanafanyika jijini Mwanza.
Mkuu wa kamati ya kukuza utalii mkoa wa Mwanza naye alipata fursa kuzungumza na wananchi nia na madhumuni ya kulitangaza jiji la Mwanza lifahamike katika sekta ya Utalii.
Mila na tamaduni nazo ni sehemu ya utalii..



Ngoma za watu kabila la Wasukuma bila nyoka au fisi haijakamilika.
Nyoka surualini...tobaaaaa...
Mkuu wa mkoa katika pitapita kukagua shughuli mbalimbali za mabanda ya wajasiliamali hakutoka kapa, alizawadiwa.


Moja kati ya bidhaa ambazo ni utalii.


Mavazi na mapambo.
Umeona.


Wou...!!

Wanyama...
Haujaonaaaa...!!


Masai.
Banda la Wizara ya Maji.


Afrika kabisa.
Mkuu wa mkoa Evarist Ndikilo alipotembelea banda la Ofisi za jiji la Mwanza.


Tuzo mbalimbali iliyopata mkoa wa Mwanza
Maelezo zaidi.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.