ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 26, 2013

MCHUJO KUPATA WATAKAO WAKILISHA TANZANIA FAINALI ZA POOL TABLE AFRIKA MALAWI WAENDELEA KAMBINI MOROGORO


Kocha wa Timu ya Taifa, Denis Lungu (kulia) akiwaelekeza jambo wachezji wa timu ya Taifa mchezo wa Pool (Safari National Pool Team) wakati wa mazoezi katika kambi inayoendelea mkoani Morogoro ya mchujo wa kuwapata wachezaji 8 kati ya 15, watakaowakilisha Tanzania katika fainali zitakazo fanyika nchini Malawi hivi karibuni.
Picha ya pamoja ya kambi inayoendelea mkoani Morogoro ya mchujo wa kuwapata wachezaji 8 kati ya 15, watakaowakilisha Tanzania katika fainali zitakazo fanyika nchini Malawi hivi karibuni.

Kocha wa Timu ya Taifa, Denis Lungu (kulia) akiwaelekeza jambo wachezji wa timu ya Taifa mchezo wa Pool (Safari National Pool Team) wakati wa mazoezi katika kambi inayoendelea mkoani Morogoro ya mchujo wa kuwapata wachezaji 8 kati ya 15, watakaowakilisha Tanzania katika fainali zitakazo fanyika nchini Malawi hivi karibuni.



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.