ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 14, 2013

MAHASIMU WAWILI PAMBA NA TOTO KUUMANA CCM KIRUMBA HII LEO.

Pamba iliyojenga heshima ya soka la Mwanza, itarejea?
NA ALBERT G. SENGO: MWANZA
LIGI Soka daraja la kwanza Tanzania bara inataraji kuanza rasmi kutimua vumbi LEO Jumamosi ya tarehe 14 sept 2013 kwa makundi yote matatu nchini.

Tuelekee kundi C ambapo zaidi litazihusu timu za Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kati.

Katika michezo minne, miwili kati yake itakayopigwa inaonekana kuwa na ushindani mkubwa.

Mchezo wa kwanza ni wa pale mjini Shinyanga kati ya Mwadui Fc V/s Stand United na wa pili ni ule utakaochezwa dimba la CCM Kirumba ukihusisha mahasimu wawili wa Jiji la Miamba, Wana Kawekamo (Pamba Fc) V/s Wana Kishamapanda (Toto Africans)...   


 Zaidi sikiliza mahojiano ya A.G. Sengo wa Sports Xtra na Maafisa habari wa timu za Toto na Pamba, Kwa kubofya play hapo kulia.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.