ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 3, 2013

SHARO WA KIHAYA NA BROTHER K WA FUTUHI WAJA NA SONGI LA KIRUGA RUGA - WAPI NI BOMBA


Washkaji wabee wanaotoka katika lile kundi la mchezo wa luninga Futuhi, linalofanya kazi zake ndani ya Star TV, kundi lililojikita katika uchekeshaji (comedy) Sharo wa Kihaya na Brother K hatimaye wameungana na wasanii wengine walio kwenye chain ya kushirikisha sanaa ya Uigizaji na sanaa ya Muziki kama vile akina Kitale, Masanja Mkandamizaji na wengineo.

Kwa mujibu wa msanii Sharo wa Kihaya amesema kuwa wameamua kulitoa songi hili katika kipindi hiki kwaajili ya mitego ya Tamasha kubwa la burudani nchini Tanzania lijulikanalo kama FIESTA wakiamini kuwa ndipo jukwaa kuu la wasanii kuainisha sanaa zao na kutoka.

Nao wanaamini kuwa wimbo wao utafanya vizuri kwa kuwakamata vilivyo wadau wa burudani.  Sikiliza songi hilo kwa KUBOFYA PYAY.   

Tupe maoni yako

1 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.