ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 21, 2013

MKAREEEEeeeee SANA ANAITWA MIKANDA 6

Mikanda 6 (kulia) akiwa na mtangazaji alwatan Jackob Usungu, anayefanya kazi hivi sasa na Metro Fm Mwanza  katika pozi namba moko'

Pozi namba bee' mapigo kama haya nakumbuka tulikuwa tukiyaona miaka ya 90 enzi za akina Luciana Bokilo, Bileku Mpasi, Aurlus Mabele, Jean Baron ambapo wengi hapa bongo tulikopi lakini nyingi suruali zilikuwa zikiishia mikanda mitatu, chekshia hii imepigwa dabo' yaani times two. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.