ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 22, 2013

HUDUMA ZA NIC BANK ZAZIDI KUPAA KANDA YA ZIWA SASA ZAIMARIKA AFRIKA MASHARIKI


Mkurugenzi wa NIC Bank James Muchiri akiitambulisha safu wa watendaji wa benki hiyo kwa makao yake makuu hapa nchini yaliyopo jijini dar  kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wateja wa NIC mkoa wa Mwanza, katika hafla ya chakula cha jioni ilifanyika katika ukumbi wa Nyerere Gold Crest Hotel jijini humo. 


NIC Bank imekuja na program mpya ya T24, mfumo mpya wa kisasa wa kikopyuta unaorahisisha uendeshaji wa shughuli za kibenki ambao unawasaidia wateja wao kuwahudumia kwa haraka na kwa muda muafaka.  


Meneja wa Tawi la Mwanza Richard Donatus akiitambulisha safu ya wafanyakazi wa NIC Bank tawi la Mwanza na vitengo vyao husika.


Kwa mpango huu NIC Bank ndani ya soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki inatoa tafsiri ya kujizatiti na kujiimarisha kiutendaji kwa kutoa huduma kwa eneo lote bila usumbufu hivyo kuwa tegemeo linapokuja suala la huduma za kibenki. 


Wateja wa benki ya NIC wakiwa ndani ya ukumbi wa Nyerere Gold Crest Hotel kwaajili ya kupata chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo.


Wateja ambao ni wafanyabiashara wa jijini Mwanza wakijadiliana ndani ya Hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na benki ya NIC.


Wadau wa biashara wamekutana kwenye Hafla hii kwa mazungumzo mafupi na kubadilishana uzoefu.


Wadau wa NIC Benk. 


Moja kati ya faida ya huduma mpya ya T24 ni kuwa, kupitia mtandao (On line banking) mteja anaweza kukaa nyumbani au kuwa mahali popote pale akapata huduma za kibenki kupitia SMS banking. 


Ushauri wa sisi kwa sisi wateja wa NIC.


Ni moja kati ya meza waliyokaa wafanyabiashara maarufu jijini Mwanza.


"Temenos T24 is comprehesive business functionality with an advanced, secure, scalable technology and market challenges of today and tomorrow" Said 'Mc Stopper' 


Wadau wakijipatia chakula kizuri kilichoandaliwa na NIC Bank kwenye hafla na wateja wake jijini Mwanza.


Samaki au kuku?


Chakula time.


Starter ...


Futher to embracing technology advancement, within the last 12 months the bank has opened two additional branches. Its 5th branc in Kahama town Shinyanga Region and a 6th branch in Kariakoo along Sikukuu Street in Dar es salaam.

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. Hello! This post coulԁn't be written any better! Reading through this post reminds me of my previous room mate! He always kept talking about this. I will forward this post to him. Pretty sure he will have a good read. Thank you for sharing!

    my website :: Lookup Discounts Accommodations rates

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.