ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 6, 2013

JOHN MNYIKA AONGOZA MAAFALI YA KWANZA CHUO CHA MAFUNZO YA JINSIA (GTI)

Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio ya sherehe za mahafali ya Kwanza ya Chuo cha Jinsia (GTI), zilizofanyika jana mchana katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Mabibo, jijini Dar es Salaam. 
Mmoja wa wahitimu akitunukiwa cheti cha mafunzo ya GTI na mgeni rasmi wa maafali ya kwanza ya Chuo cha mafunzo ya jinsia, na Mhe. Mbunge John Mnyika

Mwenyekiti wa Bodi ya GTI,Marry Rusimbi (aliyesimama) akihutubia

Baadhi ya wahadhiri wa chuo cha mafunzo ya Jinsia GTI wakiwa kwenye mahafali

Baadhi ya wafanyakazi wa TGNP wakiwa katika mahafali

Mgeni rasmi, John Mnyika akizungumza na kusanyiko hususani wahitimu.

Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Jinsia, Dk. Diana Mwiru (kulia) akihutubia katika hafla hiyo

Bendi ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwajibika katika mahafali hayo

Bendi ya Polisi ikiwajibika

Maandamano ya mahafali

Maandamano mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP

Maandamano ya mgeni rasmi na viongozi wa GTI na TGNP.
Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI) jana kimetoa wahitimu wa kwanza wa mafunzo ya jinsia katika ngazi ya cheti. Mgeni rasmi katika mahafali hayo ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya CHADEMA, John Mnyika. 

Picha zote zimeandaliwa na mtandao wa www.thehabari.com.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.