ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 26, 2013

MTEULIWA WA TUZO ZA KILI MUSIC 2013 KALA JEREMIAH KUZINDUA ALBUM YAKE LEO VILLA PARK JIJINI MWANZA

Kala jeremiah wrote: MWANZA KWANZA UZINDUZI WA ALBUM YANGU YA PASAKA YENYE JUMLA YA NYIMBO 23 UTAFANYIKA LEO IJUMAA JIJINI MWANZA TAREHE 26 MWEZI WA 4 NDANI YA UKUMBI WA VILLA PARK KWA KIINGILIO CHA TSH 5000/= TU.  PIA ALBUM ITAUZWA KWA TSH 5000/=. KARIBUNI SANA WASANII KIBAO WA MWANZA WATASINDIKIZA. BILA KUMSAHAU RAIS WA MATEJA KITALE. NA MWANADADA DAYNA NYANGE WA NIVUTE KWAKO. BONGE LA SHOW NITACHANA NGOMA ZOOTE UNAZOZIJUA...

Kwenye interview Kitale alinyunyiza ucheshi studioni ...basi kila mmoja kwe-kwe-kwe.

Kitale akiendelea kunyunyiza mbwembwe....huku Mwanahip hop mteuliwa tuzo za Kili Kala Jeremiah akiangua kicheko...

Prizenta wa kipindi cha 'Michano Time' Passion Fm Philbert Kabago akihojiana nao.

Kutoka kushoto ni Kala Jeremiah, Kitale, Producer Tiddy wa One Love Production na mwenzake Shaib'


Wameiona kamera ya G. Sengo...!!!!

Ramani ya eneo la tukio.
Msanii bora wa hiphop
Fid Q,
Joh Makini,
Kala Jeremiah,
Profesa J,
Stamina

Wimbo bora wa Mwaka: 
Dear God Kala Jeremiah,
Leka Dutigite Kigoma All Stars,
Mapito - Mwasiti Ft Ally Nipishe,
Me and You -Ommy Dimpoz Ft Vanessa Mdee
Pete - Ben Pol.

Msanii bora wa Kiume 
Ben Pol,
Diamond,
Linex,
Mzee Yusuf 
Ommy Dimpoz.

Msanii bora wa kike
Isha Mashauzi,
Khadija Kopa,
Lady JayDee,
Mwasiti
Recho. 
Msanii bora wa kiume Bongo Fleva: 
Ally Kiba,
Ben Pol,
Diamond,
Linex
Ommy Dimpoz

Msanii bora wa kike Bongo Fleva: 
Linah, 
Mwasiti
Recho
Shaa

 Msanii bora anaechipukia:
Ally Nipishe,
Angel,
Bonge la Nyau,
Mirror
VanessaMdee

Video Bora: 
Baadae - 
Ommydimpoz 
Kamili gado - Profesa_Jay
Marry me - Rich Mavoco,
Nichum -Bob Jr
Partyzone  -AY

Mtunzi bora wa mashairi Bongo Fleva: 
Ally Kiba,
Barnaba,
Benpol,
Linex
Ommydimpoz

Mtunzi bora wa mashairi Hiphop:  
FidQ
Joh Makini,
Kala Jeremih,
MwanaFA
Stamina

Mtunzi bora Mashairi kwenye Band: 
Chaz Baba,
Greyson Semsekwa,
Jonico Flower
Jose Mara
Khaleed Chokoraa

Mtayarishaji bora muziki wa kizazi kipya: 
Bob Juniour,
C9,
Imma the Boy,
Man Water,
Maneke, Marco
Marco Chali
Mensen Selekta

Wimbo bora wa Bongo Pop  
Aifora - Linex,
Baadae - Dimpoz,
Chuki Bure-Sharo,
Marry me-Mavoco
Me & You Ommy Ft Vanessa Mdee

Wimbo bora wa kushirikiana:
Chuki bure -Sharo Milionea Ft Dully Sykes
Mapito-Mwasiti Ft Ally Nipishe
Me & You, - Ommy Dimpoz Ft Vanessa mdee
Sihitaji marafiki  - Fid Q Ft Yvinne Mwale
Single boy - Ally Kiba Ft Jaydee

Wimbo bora wa Hiphop: 
Alisema -Stamina,
Bum Kubam -Nikki wa II,
Dear God -Kala Jeremiah,
Nasema nao  - Nay
Sihitaji Marafiki - Fid Q

Wimbo bora Afrika Mashariki: 
Fresh all day - Camp Mullah
Make you dance - Keko
Maswali ya polisi - DNA
Still a Liar - Wahu
Valuvalu -Jose Chameleone

Wimbo bora wa Zouk/Rhumba: 
Gubegube -Barnaba,
Mapito - Mwasiti
Nashukuru umerudi - Recho
Ni wewe - Amini
Sorry - Barnaba.

Bendi bora ya Mwaka: 
The African Stars Band,
Mapacha Watatu,
Mashujaa Band
Mlimani Park Orchestra (Sikinde)
Msondo Ngoma Music Band.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.