ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 3, 2013

ILIVYOKUWA PASAKA GOSPEL FESTIVAL2013 MJINI KATORO GEITA.

Mwimbaji muziki wa Injili Neema Mwaipopo akihudumia kwa njia ya uimbaji kwenye viwanja vya CCM Katoro mkoani Geita.

Hapa ni katikati ya kusanyiko na mkali wa muziki wa injili Neema Mwaipopo.


Ni muimbaji mpya kabisa katika muziki wa injili si mwingine Jackline ambaye pia ni mtangazaji wa Kwaneema Fm Mwanza akitambulisha wimbo wake mpya kwa wakazi wa Katoro Geita kwenye kusanyiko la Pasaka Gospel Festival 2013 lililofanyika jumatatu ya tarehe 1 april 2013.


Kama kawaida yake mwimbaji Nesta Sanga ameendeleza wimbi lake la kufanya vyema kwenye kila kusanyiko alilohusika nalo kanda ya ziwa.


Uwanja huu hauna majukwaa hivyo wananchi hukusanyika popote wanapoweza yote kwa yote huu ni moja kati ya utalii.


Ni mwimbaji mpya kabisa kwa masikio ya wengi mijini lakini ndani ya himaya ya Geita yu msanii mkubwa na ana nyimbo nzuri za kusikilizwa na hata kuchezeka.


Macho mbele kwenye mashughuli.


Ni raha ni kucheza kwa furaha.
Kwaya ya Katoro Geita.


Lango kuu la uwanja wa CCM Katoro kama ni tiketi hiyo hiace hapo pembezoni...


Ni producer wa COSU Studio ambaye vilevile yu mkali katika mavideo..


Alikuwa paleeeee.....!!!


Picha toka kwenye kamera ya producer wa COSU.



Ilifika kipindi waimbaji wakawa katikati  ya umati  nayo shughuli ikaendelea kama ilivyopangwa.
Watangazaji wa Radio Kwaneema Fm Mwanza kutoka kushoto ni Jackline na Florida.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.