ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 9, 2013

PAMBA YAISHINDILIA KANEMBWA FC 4-2 DIMBA LA CCM KIRUMBA


Ndani ya mchezo wa ligi daraja la kwanza kuwania nafasi ya kukwea ligi kuu ya Premium Tanzania bara leo Pamba Fc imetembeza kichapo kikali kwa Kanembwa Fc mara baada ya kuidhibu kwa bakora 4-2 kwenye dimba lake la nyumbani jijini Mwanza CCM Kirumba, zaidi sikiliza simulizi za Sports Xtra ya Clouds fm kwa Kubofya play.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.