ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 9, 2013

HILI NDILO KERO LA WAVUVI TANZANIA


Ingawa uvuvi ni mojawapo ya vyanzo vikuu vya mapato kwa watu wanaoishi kando kando ya Ziwa Tanganyika, matukio ya ujambazi yamekuwa yakitishia usalama wa wavuvi na wasafiri katika ziwa hilo Magharibi mwa Tanzania.
Polisi wanasema kazi yao inakuwa ngumu kutokana na ukosefu wa vitendea kazi na wamiliki kuajiri raia wa kigeni kinyume cha sheria.
Mwaka jana askari mmoja alipigwa risasi na kuawa katika mapambano na majambazi.
Mwandishi wa BBC Hassan Mhelela amefanya ziara Kigoma hivi karibuni alikotuandalia taarifa ifuatayo.
SHUKURANI KWA BBC SWAHILI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.