Sun set eneo tulivu.
Kutoka mbali moja ya hotel itakuelekeza macho yako kuona eneo hili la mbuga ya hifadhi...
Mbuni sawia kwenye hifadhi.
Mh. Mbunge Dk. Kamani wa jimbo la Busega eneo lililo na hifadhi hii ya Taifa.
Kila mmoja ana jukumu la kutangaza Utalii wa ndani wa nchi hii.
Makaribisho ya asubuhi na mapema.
Si wageni tu bali hata wenyeji hudhuru vivutio vya utalii jimbo la Busega linalopakana na mbuga mashuhuri ya Serengeti.
Swala.
Huwa nawachanganya majina wanyama hawa .... wengine huwaita Tumbili, wengine Nyani, wengine Kima na majina mengiiii.....
Sekta nzima ya Utalii jimbo la Busega imelenga.
1.Kuunganisha waendesha biashara ya utalii katika mkoa wa Mwanza ili kuweza kulitangaza eneo la ukanda huu kwa pamoja.
2.Kuongeza utangazaji wa utalii katika mwambao wa ziwa Victoria ili kuongeza biashara ya utalii katika eneo lililopo jimboni.
3.Kuvutia uwekezaji wa mahoteli katika mwambao wa ziwa Victoria na pembeni mwa vilima jimboni, na kuhamasisha michezo ya majina na meli za starehe.
4.Kubainisha mambo ya kale na shughuli za kiutamaduni zilizopo jimboni zinazofaa kutumika kama kivutio cha utalii.
5.Kufundisha wananchi ili waweze kushiriki katika biashara ya utalii.
Polisi waendelea kuwabana wanavunja Sheria, Wananchi waomba operesheni 3D
iendele.
-
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha.
Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya
kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoe...
1 hour ago