ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 21, 2012

KUTOA NI MOYO TUMSAIDIE MTANZANIA MWENZETU


Anaitwa Anastazia Dulianus miaka 18, ni mwenyeji wa Wilaya ya Serengenti mkoani Mara, amefika jana Hospital ya Mkoa lakini mpaka sasa hajapata huduma yoyote .

Mzazi wake wanatafuta fedha za kwenda kupima nyama ya Mguu wake KCMC Moshi, binti huyu anahitaji msaada wa kifedha hivyo atakayeguswa na mateso haya ayapatayo binti huyu afike wodi namba 4 Hospital ya Mkoa wa Mara
                                    
                            Au fanya mawasiliano kwa namba  0756 035 825
Katika kumsaidia Dada Anastazia tumia akaunti namba 022201093996 NBC
  Kutoa ni Moyo, tumsaidie Mtanzania mwenzetu

  Kutoa ni Moyo, tumsaidie Mtanzania mwenzetu

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.