Anaitwa Anastazia Dulianus miaka 18, ni mwenyeji wa Wilaya ya Serengenti mkoani Mara, amefika jana Hospital ya Mkoa lakini mpaka sasa hajapata huduma yoyote .
Mzazi wake wanatafuta fedha za kwenda kupima nyama ya Mguu wake KCMC Moshi, binti huyu anahitaji msaada wa kifedha hivyo atakayeguswa na mateso haya ayapatayo binti huyu afike wodi namba 4 Hospital ya Mkoa wa Mara.
Au fanya mawasiliano kwa namba 0756 035 825
Katika kumsaidia Dada Anastazia tumia akaunti namba022201093996 NBC
PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR
-
Na Mwandishi Wetu
Diwani wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Mhe. Hassan Swalehe Yusuph
ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.