ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 16, 2012

CCM NYAMAGANA YATOA TAMKO MAUAJI YA MACHINGA

Katibu wa Siasa na Uenezi wilaya ya Nyamagana, Mustapha A. Banigwa.
Kufuatia kuawa hapo jana kwa risasi mmoja kati ya wafanyabiashara wadogo jijini Mwanza (Machinga) na wengine wawili kujeruhiwa,  Chama cha mapinduzi wilayani Nyamagana hatimaye leo majira ya saa 7:30 mchana kimetoa Tamko lake rasmi juu ya mauaji hayo yaliyoleta taharuki kubwa kwa watanzania.

Akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari vya jijini Mwanza, Katibu wa Siasa na Uenezi wilaya ya Nyamagana (wilaya ambako tukio hilo lilitokea) Bwa. Mustapha Athuman Baningwa, amesema kuwa chama chake kinalaani vitendo vya Raia ama Askari yeyote kujichukulia sheria mkononi hivyo wameiomba serikali kufanya uchunguzi zaidi kubaini tatizo......


Zaidi msikilize katibu wa siasa na uenezi kwa kubofya play...


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.