ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 12, 2012

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI MH ENG DK BINILITH MAHENGE WILAYA ZA MUSOMA NA BUTIAMA



Naibu waziri wa Maji Mh Dk Binilith Mahenge akiwa pamoja na DC Musoma Jackison Msome na mkurugenzi wa MUWASA Gines Kaduei

Sehemu ya mitambo ya maji

Naibu waziri wa Maji Mh Dk Binilith Mahenge akipewa maelezo na ufafanuzi juu ya mradi huo na mkurugenzi wa MUWASA Gines Kaduei
Chanzo cha maji cha Muwasa katika ziwa victoria ambacho kinahitajika kuhamishwa kwa gharama ya bilioni 41 kwaajili ya kuwezesha mji wa Musoma kupata maji ya uhakika

Sehemu ya mji wa Butiama

Viongozi wa wilaya ya Butiama wakiwa na naibu waziri wa maji wa kwanza kushoto ni Magina Magesa m/kiti wa halmashauri ya Musoma

Msafara.
Chanzo cha maji cha mradi wa Mugango,Kiabakari hadi Butiama

Maelezo kwa kina yalifanyika hapa.
 Bango la wafanyakazi wa maji Mugango/Butiama ambao wanaidai serikali miezi 26 hadi miaka mitatu


Sehemu ya mji wa Butiama

Naibu waziri wa maji akiangalia Bwawa la Kiarano

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.