ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 7, 2012

VIDONDA VYA TUMBO, KANSA, UZAZI NA KUTOKA DAMU BILA MPANGILIO KWA AKINA MAMA NA TIBA ZA ASILI KWA MAGONJWA SUGU SASA LIVE KWENYE MAONYESHO UWANJA WA NYAMAGANA JIJINI MWANZA

Jeh unajua kwa nini unasumbuliwa na maumivu mbalimbali katika mwili wako?
Jibu liko ndani ya viwanja vya Maonyesho ya Biashara Nyamagana jijini Mwanza katika banda la Dr Top Manyota, ambapo utakutana pia na Dr. Yustas Nyakubaho Nyakujanga kutoka Ngara mkoani Kagera.

Daktari wa tiba asili, dawa ambazo zimeweza kusaidia wengi Dokta  Yustas Nyakubaho Nyakujanga kutoka Ngara mkoani Kagera akitambulisha mawasiliano yake kwa wananchi kuweza kumpata kirahisi.

Ndani ya banda hili kuna dawa mbalimbali za kuondosha sumu mwilini, dawa za kutatua maumivu ya meno na jino lililotoboka, maradhi sugu, asaz, kurejesha nguvu kwa miguu iliyopalalaiz, chango la uzazi na kadhalika. 

Ni mojakati ya dawa za ajabu zilizo na uwezo wa kutibu maradhi mbalimbali yaliyoshindikana... Karibu uepukane na kuumwa kusikosikia dawa za hospitali upate virutubisho vya mwili wako uboreshe afya.

Soma mwenyewe....

Dr. top Manyota akitambulisha moja kati ya dawa zake kulia kwake kashika dawa ya kuamsha miguu iliyoparalaiz  na kushoto kwake kashika dawa ya asaz zote zikiwa na maelezo tosha, wadau hawa wakipatikana ndani ya uwanja wa maonyesho wa biashara Nyamagana jijini Mwanza, yakitaraji kumalizika jumapili hii.  
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nao kupitia 0763 735662

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.