ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 10, 2012

MWAUWASA SOON WATAKUWA HAPA PA KISASA ZAIDI

Ni mjengo mpya unaochipuka toka ardhini ukielekea juu unaotajwa kuwa utakuwa wa ghorofa nane, mjengo mali ya Mamlaka ya maji safi na maji taka jijini Mwanza (MWAUWASA) na hapa panatajwa kuwa ndipo patakuwa Makao makuu ya mamlaka hizo ambapo ofisi zake zote zitahama kutoka eneo lake la awali karibu na mahakama ya mwanzo wilaya ya Nyamagana. 

Wadau...

Kwa nyuma ...Mjengo huu ukikamilika itakuwa ni heshima kubwa kwa Mamlaka hiyo inayofanya katika majengo ya ofisi zilizo choka kwa kitambo sasa, huku ikiwa na rasilimali  watu na vyanzo vya kutosha kwa upatikanaji maji tofauti na  halmashauri nyingi hapa nchini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.