ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 9, 2012

POLISI MORO 2 FALCON ZNZ 0 DIMBA LA KIRUMBA

Mgeni rasmi Inspector Rashidi kutoka ofisi ya RPC Mwanza akiikagua timu ya Polisi Morogoro katika mchezo baina yake na Falcon Zanzibar, hadi mwisho Polisi iliibuka na ushindi wa bao 2-0.

Akiwa ameambatana na mwenyekiti wa chama cha soka mkoa wa Mwanza, Jacson Songoro (kushoto) mgeni rasmi Inspector Rashidi kutoka ofisi ya RPC Mwanza akiikagua timu ya Falcon katika mchezo wa ligi Super 8 baina yake na Polisi Morogoro, uliochezwa leo katika dimba la CCM Kirumba, hadi mwisho Polisi iliibuka na ushindi wa bao 2-0.

Polisi Morogoro.

Falcon Zanzibar.

Ni ligi ya Super 8 kituo cha Mwanza inayodhaminiwa na Benki ya ABC.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.