ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 6, 2012

DIAMOND KUZINDUA MAGIC NDANI YA MWANZA

Mpango mzima kutakuwa na usakaji vipaji Mwanza, Burudani kusanukishwa na Diamond Platnum & on the One + Two  Pro 24 Dj.
Video Habari.

Dj Tass wa Magic Fm na Pro 24 Djs ...mapemaaaa ndani ya Rock City
 D Mango ambaye ni mratibu wa Uzinduzi Magic Fm jijini Mwanza (aliyevaa miwani )akizungumzia uzinduzi huo mbele ya waandishi wa habari (walioketi kulia) huku Dj Tass toka Magic Fm na Pro 24 Djs (kushoto) akisikiliza kwa umakiini.

D Mango ambaye ni mratibu wa Uzinduzi huo jijini Mwanza akizungumzia uzinduzi huo mbele ya kamera ya blog hii.
Magic Fm Mwanza kuzinduliwa rasmi Ijumaa hii ya tarehe 8/06/2012 ndani ya Villa Park Mwanza. Shindanola kusaka vipaji kufanyika mshindi kurekodi Studio za Combination Sound chini ya Producer Man Walter aka Man Maji.
 Diamond Platnum kutoa burudani..
Ngoma zitaanza kugengeshwa kuanzia saa 2 usiku kiingilio ni shilingi 10,000/=

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.