ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 10, 2012

TWIGA STARS YAIBUGIZA ROCK CITY QUEEN 5-0

Mchezo baina ya timu ya taifa ya wanawake Tanzania (Twiga Stars) na kombaini ya timu ya wanawake Mwanza (Rock City Queens) umekatika kwenye dakika ya 58 mara baada ya mvua kubwa kunyesha katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza na hali ya uwanja kuwa tete.

Kabla ya mechi hiyo kuvunjika Twiga Stars ilikuwa ikiongoza kwa bao 5-0.

Twiga Stars iko kwenye mazoezi ya kujiandaa na mashindano ya Afrika dhidi ya Nigeria ambapo Jumamosi (Mei 12 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya mpira wa miguu kwa wanawake ya Zimbabwe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.