ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 6, 2012

UZINDUZI WA TAMTHILIA YA 69 RECORDS SEASON II WAFANA NDANI YA NYUMBANI LOUNGE JIJINI DAR

Wasi Wasi Mwambulambo wa Clouds TV akiitambulisha sehemu ya crew iliyoifanikisha kwa kiasi kikubwa tamthilia ya 69 records season II,ambapo kwa maelezo ni kwamba tamthilia hiyo itakuwa ikirushwa Clouds TV pamoja na kwenye DSTV.

Mmoja wa wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya H-Baba akitumbuiza kwenye hafla hiyo.

Msanii mwingine anayetikisa anga ya muziki wa Bongofleva,Ommy Dimpozz akiimba mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani) usiku huu.

Mmoja wa wasanii mahiri wa Filamu hapa nchini,ambaye binafsi namkubali sana,Jacob Steven a.k.a JB akitoa maneno machache ya kuisifia kazi nzima ya iliyofanywa ndani ya tamthilia ya 69 Recods season II.

Msanii Queen Doreen ambaye ni miongoni walioigiza kwenye tamthilia ya 69 Recods, wakijitambuliza, nyuma yake ni wasanii waliogiza kwenye tamthilia hiyo

Mambo ya shampeini'

Baba Jonii' along side....

Flash 2 ze place.

Kidoti'

Interview..'

Air DadazZ'
Picha zote na Michuzijr Blog

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.