ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 13, 2012

UMUHIMU WA KUDAI RISITI BY EWURA CCC.

Kuwa na risiti kwa huduma mteja aliyopata ni hatua ya kwanza muhimu katika kuwasilisha malalamiko iwapo mtumiaji atakuwa na malalamiko kuhusu huduma aliyopata. Msikilize mr. Erasto Kishe Muelimishaji toka EWURA CCC hili ni Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za nishati na maji ambaye aliyasema hayo jana katika maonyesho ya Siku ya mtumiaji kujifunza jinsi ya kung'amua bidhaa feki ili kutumia bidhaa zenye ubora unaokidhi viwango yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Makongoro jijini Mwanza.

Risiti ni uthibitisho.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.