ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, March 14, 2012

MAONYESHO SIKU YA MLAJI KILELE CHAKE LEO.

Joshua Msona Afisa mwandamizi mtetezi wa walaji akizungumzia maonyesho ya SIKU YA MLAJI ambayo kitaifa mwaka huu 2012 yanafanyika Mwanza katika viwanja vya Makongoro ambapo leo tarehe 15/03/2012 ndiyo kilele. Kauli mbiu ya mwaka huu ni FEDHA ZETU HAKI YETU (OUR MONEY OUR RIGHT).
NYOTE MNAKARIBUSHWA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.