ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 22, 2012

JENGO LA CM PLAZA LAZINDUA TEKNOLOJIA MPYA YA KUFANYA USAFI IITWAYO ROPE ACCESS

Mkurugenzi wa kampuni ya Equilibrium Rope Access Bw. Abdulkarim Tumba akipanda juu kwa ajili ya kusafisha vioo kwa kutumia teknolojia ya Rope Access ambayo ni mpya kwa hapa nchini. Amesema kuwa ni vyema Watanzania wenye majengo wakaitumia teknolojia hii ambayo ni salama. Na leo kwa mara ya kwanza tokea teknolojia hiyo imeingia nchini Tanzania wameifanya katika Jengo la CM Plaza lililopo jijini Dar es Salaam.

...Akielekea juu kwa ajili ya kuanza kusafisha jengo hilo; ambapo usafi unafanyika kwa ustadi kabisa.

Muonekano wa jengo huku akionekana Bw. Abdulkarim Tumba akiendelea na usafi.

Hapa akiendelea na usafi ambapo haitaji vifaa vingi wala umeme na ni haraka na salama.

Jengo la CM Plaza kama linavyoonekana wakati likifanyiwa usafi.
PICHA NA Cuthbert Angelo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.