ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 23, 2012

HAPPY BIRTHDAY REUBEN NDEGE, DJ BONNY LOVE & MAULID KITENGE

Mzeiyaa wa soso fresh, jamaa mwenye kipaji kinachoongea toka moyoni almaarufu kwa jina 'Ncha Kali' amezaliwa siku kama ya leo tarehe 23 march.

sIKu hii njema kwake imeangukia ijumaa ambapo mida ya night kuanzia saa nne kamili mara baada ya Sports Extra, huwa anahusika hewani na madizaini tofauti tofauti kila wiki katika Soso Fresh kupitia Radio ya watu....

jEh leo atafanya kipi cha Udiferenti????!!!!?????






Dj Bonny love, mtayarishaji wa muziki akiwa long time kwenye game, sambamba na Dj Elly Big Daddy mwalimu wangu wa mixxing', Bonny Love alinitich engo za maujanja na siri za ziada kwenye moja na mbili.

Makamu Mwenyekiti wa TASWA Maulid Kitenge ambaye vilevile yu mtangazaji wa Radio One Stereo naye leo ni siku yake.

.HAPPY BIRTHDAY 2 YOU ALL.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.