ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, February 15, 2012

JIONEE TASWIRA USIKU WA VALENTINE GOLD CREST

Promota Dj Ally Coco kutoka Coco Entertainment akikabidhi zawadi ya Tiketi ya ndege kwenda na kurudi kupitia shirika la ndege la Fly 540 kwa mshindi wa droo ya usiku wa Valentine.

Mtu mzima King Kikii alizikonga nyoyo za mashabiki wa muziki wake.

King Kikii alishirikiana na vijana wa Hill Way Band kumwaga burudani.

Ni wakati wa Kitambaa cheupe.

Meneja wa Gold Crest Hotel bi Elizabeth akitangaza washindi wawili aliojishindia zawadi ya kulala usiku mmoja hotelini hapo kupitia shindano la kucheza muziki.

Meza yetu kutoka kulia ni Wife, mie na shem Jackline.

Meza ya marafiki na dinner.

Mwanamuziki King Kikii, Dj Ally Coco na Meneja wa Gold Crest Hotel Bi. Elizabeth wakibadilishana mawazo.

Tupe maoni yako

1 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.