ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 19, 2012

AJIRA MPYA ZA WALIMU ZATANGAZWA MAJINA YATOLEWA

Kwanza Tunapenda wasalimu wakubwa wetu Shikamoo na vijana wenzetu Mambo vipi.. Tunatambua kuwa Wanavyuo wenzetu walimu walikuwa hawana kazi kwa muda mrefu Jambo ambalo liliwafanya wengi kuwa na wasi wasi na mwajiri wao. Tunapenda kuwapa tarifa kupitia mtandao wenu wa Matukio na wanavyuo (www.tzwanavyuo.blogspot.com) kuwa, Walimu wahitimu wote Jana usiku majira ya sa saba Nafasi hizo zilitangazwa Rasmi, Pia sisi Tunapenda kuwasilisha majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa Tunaomba mchukue Muda wenu kutazama kwa umakini majina yenu yote yapo hapa. Hongereni sana.


Kutazama Majina ya walimu walio pata Ajira Bofya hapa http://www.tzwanavyuo.blogspot.com/

Imeandaliwa na,
Matukio na Wanavyuo Crew
www.tzwanavyuo.blogspot.com
twanavyuo@live.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.