ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, December 13, 2011

PARTY YA KUZALIWA MTANGAZAJI WA STAR TV

Huu ndiyo Mkate wa nakshi ya sukari wa Fatma Shemweta katika sherehe ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika ukumbi wa VIP The New Stone Club Mwanza.

Mtangazaji wa Star Tv Fatma Shemweta (R) na shosti wake The Platnum (L).

ZE MilipukozZZZz!!

ChiazZZZzzz!!!

Kitu cha Dance' pale kati.

Kutoshea idadi keki ilikatwa 'mapande makumi mawili na saba'.

Fatma akilishwa keki na Beste'.

To the shosti.

To the Mc Ray.

Tamu ya mkate wa sukari kwa Mamaa G.

Meneja wa The New Stone Club, Dj Ally Coco naye alionja utamu wa keki.

Keki kwa dada.

The Big Top Ten akilishwa keki.

Platinum na shukurani kwa mtoto.

Mtoto akipokea zawadi spesheli.

Mc wa shughuli alikuwa na mikogo kinomanoma, na hili ndilo pozi la kukabidhi mzigo.

The Crew na Sahara Communication.

Safu ya mashosti...

Picha zaidi tembelea
www.jipanguse.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.