Mtangazaji wa Clouds Fm 88.4 katika kipindi cha Power Breakfast (wa pili kulia) akichangia furaha pamoja na wapiganaji wenzake mara baada ya kupata nondoz ya Mass Communication kutoka katika chuo cha Tumaini, Dar es Salaam. Mahafari yalifanyika ijumaa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.