ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 25, 2011

WATANZANIA WAWILI KUKIPUTA SWEDEN

Joseph Kaniki.
William John.

Wachezaji wawili wa kitanzania, Joseph Kaniki (Golota) na William John wamefanikiwa kujiunga na timu ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF) nchini Sweden, baada ya kufanikiwa kupita katika majaribio( Trials). Majaribio hayo yalijumuisha wachezaji zaidi ya thelathini ambapo wachezaji watano walichaguliwa kujiunga na klabu hiyo ya ligi daraja la pili KonyaSpor (KIF)

Habari hii imeletwa kwenu na
http://www.africa4life.com/

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. What's up Dear, are you actually visiting this site daily, if so afterward you will absolutely take fastidious experience.
    My blog ... live online casino

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.