ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 3, 2011

WAANDAAJI WA VIPINDI NA WATANGAZAJI WA REDIO ZA KIJAMII KANDA YA ZIWA WAKABIDHIWA NYENZO NA TACAIDS KUIELIMISHA JAMII KUHUSU UKIMWI

Washiriki mafunzo.
Mafunzo ya kujengewa uwezo kwa watangazaji na waandaaji wa vipindi vya redio za kijamii yaliyoandaliwa na TACAIDS kupitia Kampuni ya Agencies (T)ltd, kwa Kanda ya Ziwa yamefanyika leo katika hotel ya Victoria Palace jijini Mwanza na kuhudhuriwa na washiriki wa vituo mbalimbali. "Ngono za wapenzi wengi na ngono za biashara zinazidi kubarikiwa na jamii kwa kupewa majina mengi mazuri kama kuhalalishwa, kama Shuga Dadi, Shuga Mami, Kibustani...." Glory Mziray:-public Relations Officer TACAIDS.

"Redio za jamii zikitumika vyema zina nguvu kufanikisha vita dhidi ya maambukizi ya Ukimwi" Richard Ngaiza:- Communication and Media Expert, Lecturer in New Media Technologies (Tumaini university Dar es Salaam College)

Washiriki wa mafunzo hayo yaliyoanza leo na kutarajiwa kumalizika kesho, wa kwanza kabisa kushoto ni Ester Tindos Kusekwa toka Living Water Fm Mwanza.

Washiriki Emanuel Chibasa wa Victoria Fm, John D. Mponeja Victoria Fm na Ally Mwafrika wa Kahama Fm.

"Ubunifu na Lugha kwa mtayarishaji na mtangazaji ni muhimu katika ufikishaji wa ujumbe na elimu kuhusu suala zima la kujilinda na kupambana na maambukizi ya Ukimwi" Richard Ngaiza.

Ndani ya mafunzo kushoto ni Maganga J. Gwesanga(Living Water Fm), Caroryne Mwaipungu (HHC Alive Fm) na Helen (Living Water Fm).

Edwin Sokwe, Cecilia Ndabigize na wengine...
Matumizi ya Kondom:
ACording to the 2007/8 THMIS: Among women who reported having higher risk sex in the past 12 months, 43% used condom during the last act

Among men who reported having higher risk sex in the past 12 months, 53% used a condom during the last act

This levels were higher amon younger respondents Of the men ages 15-49 who paid for sex in the past 12 mont, 60% used a condom.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.