ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 11, 2011

VURUGU ZA LEO WAMACHINGA SOKO LA MWANJELWA

Watu Mbali Mbali wakiwa wanakimbia ili kujiokoa na Hatari katika eneo hilo.

Wamachinga wakiwa Tayali kwa ajili ya Kupambana na FFU wakati wa tukio hilo

Baadhi ya wananchi wakiwa wameokoka katika eneo hilo


Wamachinga Mbali mbali wakikimbia katika eneo la tukio wakati wa machafuko hayo yamepamba moto

Polisi wakijalibu Kuzuia Ghasia katika eneo hilo na kufukuza Wamachinga.
Picha zote na:
http://www.latestnewstz.blogspot.com/

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.