ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 2, 2011

LIVE NDANI YA CHANEL TEN

Ni Kundi jipya linaloitwa BABATAN likiwa na maana ya 'Shikamana baada ya kukandamizwa' (cheki na kamusi ya kiswahili), kundi likiwa na wasanii idadi kubwa ya wale waliopigwa stopu' wakiunda kundi la awali la FUTUHI.

Kutoka kushoto ni Mansoor Jalaludin (kamera man), Lwiza Rwechungura aka Kafuku Kaulananga, Mwashum Ismail aka Brandy Muswaili, Hashim Abeid aka Itagata na Robinson Daudi aka Mchele Chubu Mwanashidondofilo, nyuma wanaonekana John Mlinga aka Babu Mkombe na Ibrahim Mussa aka Chicochengambili.


Sasa mavijana haya yenye vipaji full balaa, baada ya kimya kirefu sasa yatakwenda kuonekana ndani ya kituo cha Televisheni nchini Chanel Ten kila ijumaa.

USKOSE UHONDO;

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.