ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 18, 2011

LIFE GOES ON NA KITAA CHETU.....

Ni ubunifu tu katika biashara kwani dukani hapa bidhaa zilizopo ni mifagio, koroboi, tambi za majiko ya mchina, chemli na koroboi, majiko, miko size zote, matenga kwaajili ya nyanya na kuhifadhia kuku, nyungo, makarai, vikaangio kwa vitumbua, chapati na maandazi, vinu, mitwangio, mipini ya majembe na visu.

Wakati makanisa mengi yakizidi kuongezeka kujengwa, madhehebu mapya yakisajiliwa, huku wengine wakikodisha kumbi mbalimbali kwaajili ya kufanya ibada (hadi zile za viti virefu jioni); Najiuliza kunani hata watu wadiriki kuyakacha makanisa yao ya zamani waliyoyajenga kwa bloku na kuyanakshi kwa malumalu yakiwa matupu bila waumini na kuja huku..?..!

Taswira ya soko la Kimataifa la Mwaloni, toka majini ndani ya Ziwa Victoria.

Ni biashara ya majiko ambapo miaka ya sasa nyenzo za ndani ni udongo na siyo chuma au bati kama zamani...kunani?

Msusi.

Vitunguu tatu tatu, bania na-na-na-na na-nini...!!!

Kibiashara zaidi..

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.