ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 26, 2011

KUPIMANA IMANI...teh teeh teEh!

Maafisa usalama wakiwa wanaulinda mti wa krismas wenye urefuwa mita 2.4 uliotengenezwa kwa kutumia madini halisi ya dhahabu na kuonyeshwa katika duka la vito vya thamani la Ginza Tanaka Kikinzoku lililopo jijini Tokyo.

Mti huo umetengezwa kwa vipande vya dhabu na majani yake , wote ukiwa na kilo 12.

Mti huo hauuzwi lakini thamani yake inafikia Yeni Millioni 150 ambazo ni sawa na fedha za kitanzania zinazofikia Trillioni 3.1. Duh watu bwana!...

Meri Krismasi.

Chanzo: Mrindimo

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.