ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 11, 2011

JUMUIYA YA AFRIKA YANG'ARA KATIKA WORLD TRADE MARKET UINGEREZA

Ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni Mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi. Waziri wa Utalii na Mali asili Mh Ezakiel Mahige na Naibu Balozi Chabaka wakipokea zawadi ya mpira.

Mchezaji maarufu wa kimataifa kutoka nchini Ghana Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania.

Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana.

Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan.

Frank, Bw Issa na Bi Jestina.

Mwenyekiti wa bodi ya utalii ya Uganda akiwa na Bw William Byeruhanga.

Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania.

Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii ya Zanzibar

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.