ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, November 30, 2011

GARY SPEED HAKUWA NA UGOMVI NA MKEWE WALA KUONEKANA KUWA NA HUZUNI KABLA YA KIFO CHAKE.

Nyota wa Football ambaye alikuwa meneja wa timu ya taifa ya soka ya Wales, Speed ​​Gary hakuonekana kuwa na huzuni na hakuwa na ugomvi baina yake na mke wake Louise kabla ya kifo chake ambapo inasemekana alijiuwa mwenyewe, wakala wake amesema. Enzi za uhai wake Gary Speed na mkewe Louise.
Hayden Evans aliongeza kuwa: "Hata mke wa marehemu bado anatatizwa na kifo cha mumewe. Wameishi maisha ya upendo katika ndoa yenye furaha huku akimchukulia Gary kama mtu wake bora" Leo katika uchunguzi wa mauti ya Gary Speed ​​yamethibitisha alionekana kunyongwa katika nyumba anayoishi yeye na mke wake, hakika ni habari za kushangaza.

Picha za mwisho wa uhai wake... Gary Speed ​alikutana na mashabiki katika studio BBC mjini Salford, Manchester.

Mashabiki wengi walijivunia kupiga picha alongside Wales boss Gary Speed

Hayden Evans wakala wa Gary Speed.
"Kila mtu amekuwa akiuliza swali moja na hakuna mtu yeyote mwenye jibu kwani sote tuko katika mshtuko, Jambo moja naweza kusema kuwa familia na mimi kama mmoja wa rafiki zake wa karibu kabisa bila kukanusha ni kwamba hapakuwa na dalili ya matatizo yoyote na kamwe imekuwa.."

"Kwa nini hakuweza kunipigia simu kwa ajili ya kuzungumza kile kilichokuwa kikimtatiza kwa ule muda kabla hajafanya aliyoyafanya?"

"Nilikuwa pamoja naye siku ya Jumamosi tukishuhudia mchezo wa Stoke na mwisho wa siku tukaweka mikakati wiki ijayo"

"Alikuwa anakuja nyumbani kwangu pamoja na mke wake tunakaa pamoja katika nyumba yangu, Tukienda dinners mbalimbali.. Tuliondoka studio, tukashikana mkono na kusema, 'See you next weekend.' Unfortunately I won't."


Shabiki wa Bolton, moja ya timu alizopata kuchezea... akiwa amepiga magoti kutoa heshima za mwisho mbele ya maua na jezi za Gary Speed.

Sheffield ... team shirts outside the Blades' Bramall Lane.
Naye mchezaji maarufu wa zamani wa New Castlle United Alan Shearer amesema kuwa hakuna mtu anayeweza kuelezea dhiki yake iliyompata moyoni juu ya kifo cha rafiki yake huyo. Shearer said: "I played against him many times, but when Kenny Dalglish signed him for Newcastle straight away we struck up a relationship. You're bound to have arguments along the way in football — but no one ever did with Gary.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.