ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 2, 2011

MBWEMBWE ZA THE NEW STONE CLUB MWANZA

Mkurugenzi wa New Stone Club Mwanza Bw. Jack Fish (shoto) akiongozana na Meneja mauzo wa TBL Mwanza Mr. Mbwambo katika kukata utepe ishara ya ufunguzi..
Ukumbi mzima uligonga kitu cha Chiaaaazzz!!!
Ze crowd kabla ya kukata utape kuzindua dansing flow ya Ze Jiwe..
H Baba akisanukisha...
Ma-Member.
Katika Ming'aro ya kukwaitika... Supa Dadaz.
Diamond...
H. baba
The Platnum along side shosti.
Meza ndefu.
Sisters.com
Ze nyomi.
Together we can...
Mie, Kabago na Stoper.
Round table ya wadau.
WochaZz!
Ni maraha ya kwanza kabisa ya Kiwanja kilicho On 'New Stone Club' yaliyofana, ngoma iliyopigwa Ijumaa ya tarehe 30 Sept 2011 nakupendeza ile NOWMAaaa!!.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.