ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 2, 2011

KASEBA BINGWA NGUMI ZA KULIPWA BONGO

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Iddy Azani akimvisha mkanda wa ubingwa unaotambuliwa na chama cha mchezo wa ngumi za kulipwa PST bondia Japhet Kaseba baada ya kumtwanga Maneno Oswald kwa Point jijini Dar es salaam jana.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Mabondia Japhert Kaseba 9kushoto) akipambana na Maneno Oswald wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa PST uliofanyika Dar es salaam jana Kaseba alishinda kwa pointi..(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.