ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 27, 2011

MAHMOOD KITANO & REHEMA NA CHEREKO LAO.

Mahmood Kitano akiwa na mkewe Rehema mara baada ya kufunga ndoa katika msikiti wa Makongoro Kirumba Mwanza.

Mara baada ya harusi kufungwa majira ya asubuhi, baadae jioni sherehe ya kufana ilihamia katika ukumbi wa uwanja wa michezo wa CCM Kirumba.

Msafara toka Tilapia Hotel kupitia barabara ya Kenyeta hatimaye barabara ya Makongoro to CCM Kirumba.

Mashoster.

Mabeste.

Keki na maharusi.

To bi. harusi.

To bwana harusi

Maharusi stape kwa stape kuwakabidhi wazazi.

Bi harusi akiwakabidhi wazazi wa mumewe keki, Mama Kitano mpokeaji huku Mr kitano (kushoto) akipiga makofi.

Kamati kuu ya Harusi haikusahaulika.

Mchana Ilikuwaje?Huko nyumbani kwa bwana harusi majira ya mchana kulikuwa na pilikapilika nzito.

Ng'ombe zisizo na idadi zilichinjwa bwana!

Rejea Usiku.Vijana wa masauti Akudo Sound walishuka kukamilisha sekta ya burudani kwani sherehe ilianza saa 11 jioni hadi saa 2 asubuhi siku inayofuata, Unacheza weeee!!!.

Ngoma asili nazo zilikuwepo, za wahaya, wakerewe na wajita.

Wabunge Hayness na Wenje wote ndani ya nyumba.

Dance....dance.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.