ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 14, 2011

CHEREKO YA BINTI WA JACKOB ZUMA ILIVYOKUWA

Bi harusi (binti wa Zuma) na safari kuelekea kanisani kufungishwa ndoa.

Baba na Mwana katika dance la Harusi.


Hakika ni siku ya Furaha kwa kila mtu mwana familia kwani mambo yalipangwa yakapangika, bi harusi aliwasili kanisani kwa kutumia usafiri wa asili huku akisindikizwa na babaye mh.Rais Zuma.








Kisha mzee mzima akagonga snape ya tabasamu la ukweli akiwa na bintiye mara tu baada ya kufika eneo husika.



















Bwana na Bi harusi katika spesho' dance.

Pete za maharusi.

Drafti la meza kuu.

Si manjo-njo hayo na mikogo toka kwa kaka wa bi harusi na mkewe


Poz la karibu kaka wa bi harusi na mkewe.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.