ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 3, 2011

UZINDUZI WA MSIMU WA DHAHABU MWANZA ULIVYOFANA HII LEO JIJINI MWANZA.


Anaitwa Msamy ni msanii toka kundi la THT akionyesha utundu katika siku ambayo msimu wa Dhahabu umezinduliwa rasmi.



Ilianza kama mchezo hivi

Shughuli zimefanyika kwenye kipita shoto kikuu cha Mwanza kinachounganisha Barabara za Makongoro, Kenyata na Nyerere ambapo umati mkubwa umejumuika kushuhudia dakika hizo chache muhimu tamu za msimu wa Dhahabu.


Daah! hawa jamaa walitia fora pozi za ukweli steps za maaana.



Haina majotrooo!



Kamziki kanapo mdatisha mwananchi...



Barabara zilifungwa kwa muda kupisha tukio la kihistoria kuchukuwa nafasi, pichani barabara ya Kenyata.



Wewee...



AMPLIFAYA MAN Milard Ayo mbele ya wadau wa Uzinduzi wa msimu wa Dhahabu Mwanza hapa wakiwa mbele ya mjengo wetu.



Mara baada ya kazi kumalizika, tathimini kisha nikupongezana tu!

Kufanyika kwa Tamasha hili la Kumi la Kimataifa la Serengeti Fiesta 2011 nchini, hakika kutatoa mchango mkubwa katika ukuzaji wa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na taifa kwa ujumla kutokana na shughuli mbalimbali za kibiashara zitakazofanyika ndani ya msimu wa fiesta mwaka huu.


KIDOKEZO NI KUWAAAAaaaaaa...'' SAFARI HII MWANZA KUNA KITU YA 'HATARI' YAJA KUONDOA 'MAJOTROO. SWALI NI KWAMBA:- MWANZAAAAaaaaa mmejianda'ndaaje?

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. Msamy u r xo bleesed wid talent i really admire you and i lv u and ur crew xooooooo much.....pop ur collaaaaaaar!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Mwanza mpo juuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.