ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, June 7, 2011

SENIOR JOURNALISTS/EDITORS' ROUNDTABLE DISCUSSION ON ADVOCACY - MWANZA

Kwa hisani ya Pact Tanzania Wandishi wa habari jijini Mwanza leo wameketi kwenye meza moja kujadili mfumo mzima wa Upashaji habari kwa misingi ya kidemokrasia na Changamoto zake, shughuli ikifanyika katika moja ya kumbi za Lakairo Hotel jijini humo.

Rais wa chama cha waandishi wa habari Tanzania Keneth Simbaya - "Lazima tujue tunamalengo yapi na tunafanyanini kuyafikia malengo tuliyojiwekea, pia ifikie mahali tujue kuwa tunataka nini."

Soma bao Changamoto mzigo.

Ms. Leah Mwainyekule.
Community obilisation: Uchechemuzi (Advocacy) nao ukapewa kipaumbele kwa jamii:
#Let them know their civic right
#Engang in meetings
#Demand income


Moja kati ya jukumu muhimu la Mwandishi wa habari wa Tanzania ni kuwaondoa watanzania hapo walipo kufanya mambo kwa kubashiri kwa kuwasaidia kutekeleza majukumu yao kwa kujua hatua za kuchukua tangu awali na umaliziaji wake .

Utawala bora ni kuandika kweli kweli iliyo huru. Je! vyombo vyetu vya habari vina uhuru wa kuandika habari kwa kiasi gani?


Mkuu wa kundi namba 3. Paulina David akiwasilisha uchambuzi wa changamoto za 'Bajeti ngazi ya Jamii'.

Fredrick Katulanda akiwa mkuu wa kundi namba 1. yeye aliwasilisha Changamoto za Ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za Umma ambapo humo ilibainika kuwa Kwa wananchi na wandishi wa habari Hakuna ufuatiliaji wa kina juu ya fedha za Umma eg. Thamani ya jengo kwenye miradi na fedha zilizo tumika.

Kipengele B: Changamoto kwa Wahariri na Wamiliki
Kwa maslahi ya kisiasa na binafsi wamekuwa wamekuwa wakihofia kuziruhusu habari zenye kukosoa watu fulani kwa kuhofia kukosa matangazo ya biashara na ufadhili.

Kipengele C: Wahariri wamekuwa chanzo cha kuzuia habari kutoka kutokana na:
-Hofu ya kupoteza ajira,
-Uelewa mdogo wa masuala ya bajeti au masuala ya uchumi,
-Vitisho.


Tunawezaje kuboresha?
-Waandishi kupata elimu za masuala ya fedha/bajeti
-kuzingatia maadili ya Uandishi wa habari.
-kuwepo kwa mtandao wa wandishi wa habari za ufuatiliaji fedha za Umma
-Kuwepo mfuko wa kuwezesha wandishi habari za uchunguzi.

Tupe maoni yako

8 comments:

  1. We are a group of volunteers and opening a new
    scheme in our community. Your website offered us with valuable info to work on.
    You've done a formidable job and our entire community will be thankful to you.

    Also visit my page :: http://wealthwayonline.com

    ReplyDelete
  2. Appreciation to my father who stated to me on the topic of this website, this weblog is really awesome.


    Look at my weblog ... Sac Louis Vuitton

    ReplyDelete
  3. Heya i'm for the primary time here. I came across this board and I in finding It really useful & it helped me out much. I'm hoping to offer one
    thing back and aid others like you aided me.

    Also visit my web blog :: Michael Kors

    ReplyDelete
  4. Asking questions are genuinely nice thing if you are not understanding
    something totally, but this piece of writing presents nice understanding yet.


    Here is my webpage :: Nike Air Jordan

    ReplyDelete
  5. Good day! This is kind of off topic but I need some help
    from an established blog. Is it very hard to set
    up your own blog? I'm not very techincal but I can figure things out pretty fast. I'm thinking
    about setting up my own but I'm not sure where to start. Do you have any tips or suggestions? Cheers

    Here is my weblog Air Jordan (http://Overuc.com)

    ReplyDelete
  6. Wow, this paragraph is good, my younger sister is analyzing such things,
    so I am going to let know her.

    my site ... Louis Vuitton Purses

    ReplyDelete
  7. I'm really impressed together with your writing talents and also with the format in your weblog. Is this a paid theme or did you customize it yourself? Either way keep up the nice high quality writing, it's rare to see a great weblog like this one these
    days..

    my website; Nike Air Max

    ReplyDelete
  8. Very nice post. I simply stumbled upon your blog and wanted to mention that
    I've truly enjoyed surfing around your blog posts. After all I will be subscribing for your rss feed and I am hoping you write once more soon!

    my site - Air Max Femme

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.