ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 6, 2011

VIDEO SHOOTING

Kwaya ikitumia moja ya vivutio.
Rock City kuna vivutio vingi vya mazingira ya kitalii ambavyo bado havijatumika ipaswavyo hasa linapokuja suala la utengenezaji wa filamu za muziki.

Hata makazi yetu ni kivutio tosha.
Kwa wapiga picha wazuri fit kama hizi kwao ni thamani kubwa sana askwambie mtu.

Au pande hizi?.

Ama hapa kilimani karibu na fukwe za ziwa?
Waimbaji wengi jijini Mwanza wawe wa muziki wa Dini, Utamaduni au Dunia, wengi wamekuwa wakidiriki kujisumbua kubuni atifisho background ili tu kukamilisha picha zao tena wengine wakitumia gharama kubwa kutimiza hilo la kutengeneza ma-atifisho au kusafiri kwenda mikoa mingine. Sijui niseme kuwa hawaoni thamani ya walichonacho, au pengine kukariri shuting' za wasanii waliotoka au kuchukulia powa mazingira tuliyonayo? Yes! Zote hizi zaweza kuwa sababu.
"Tuwasaidieje...?"
Chunguza mjomba utabaini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.