ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 7, 2011

TUZO ZA WANAMICHEZO BORA 2011 ZAFANYIKA : MWANAIDI HASSAN AIBUKA MWANAMICHEZO BORA WA JUMLA.

Mwanamichezo bora wa jumla wa Mwaka wa tuzo hizo Mwanaidi Hassan anayecheza mchezo wa netiboli katika timu ya JKT Mbweni akipokea tuzo yake kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Gharib Bilal.

Mchezaji wa timu ya Yanga Shadrack Nsajigwa akipokea tuzo yake mwanamichezo bora wa mpira wa miguu toka kwa Mkurugenzi wa bodi Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Mark Bomani.

Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa akipokea tuzo yake ya heshima kutoka kwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal.

Wadau waalikwa Sekta ya Habari.

Kutoka kushoto Salehe Ali (Global Publishers) Ronard Sherukindo (Multichoice) na Kutoka kulia ni Phares Magesa makamu mwenyekiti wa TBF pamoja na mama mzazi wa Hasheem Thabeet anayecheza ligi ya NBA nchini Marekani.

Meza kuu ya viongozi walio hudhuria utoaji tuzo za Mwanamichezo bora 2011 ambazo zimedhaminiwa na kampuni ya bia ya Serengeti tukio lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Hotel ya Movenpick jijini Dar es salaam..

Wanalibeneke mashuhuri ndani ya shughuli shughulini ukianzia kulia ni Michuzi Jr wa 'JIACHIE' naye Bukuku wa 'FULL SHANGWE'.

picha zote kwa hisani ya FULL SHANGWE

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.