Mkurugenzi wa Miss Tanzania Hashimu Lundenga akipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi ya Nembo mpya ya Vodacom Miss Tanzania pamoja na uzinduzi wa mashindano hayo kwa mwaka 2011, shughuli iliyofanyika katika Hotel Kempnisky jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wanakamati wa Vodacom Miss Tanzania pamoja na wadhamini wa wakuu wa shindano hilo na warembo walioshiriki mashindano hayo miaka ya nyuma katika picha ya pamoja.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.