Wakiongozwa na jeshi la Polisi nchini mashabiki wa vilabu mbalimbali vya Ulaya jijini Dar es salaam hii leo wameandama hadi viwanja vya Leaders Club kwa ajili michezo ya ufunguzi wa Tamasha la Fiesta 2011 kupitia soka ambapo mashabiki hao waliunda timu zao ambazo zilizotengenezewa ligi ya inayoendelea sasa viwanjani hapo. Mashabiki wa Mwanza na mikoa mingine jiandaeni... Taarifa zaidi sikiliza Clouds FM. Time hii vipute vikiendelea kama kawa.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa me...
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani matai...
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.