ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 7, 2011

KUMBUKUMBU


*******************KUMBUKUMBU YA MASUBO********************
Familia ya marehemu Fidelis Michael Masubo inapenda kuwakaribisha ndugu, Jamaa na Marafiki wote kwenye misa fupi ya kumbukumbu ya kutimiza miaka miwili Tangu atutoke Baba yetu mpendwa Fidelis Michael Masubo.


Misa itafanyika Nyumbani kwake Myakato Buzuruga siku ya ijumaa (kesho) Tarehe 08/04/2011 kuanzia saa 1:00 usiku, Hii ikiwa na lengo la kuwapa nafasi waumini wa Kanisa Katiliki kuhudhuria kwanza misa ya njia ya msalaba.

ENYI NDUGU NA MARAFIKI Njooni tujumuike PAMOJA katika sala.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE
*****************************AMEN******************************

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.