ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 25, 2011

VIFO VYA UZAZI VINAZUILIKA.

Tanzania ni miongoni mwa nchi kumi ambazo zina vifo vingi zaidi vya uzazi duniani. Zaidi ya wanawake elfu nane wanakufa kila mwaka kutokana na matatizo ya uzazi ( sawa na wanawake 22 kila siku).

-Pamoja na kupungua kwa kasi ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano bado kila mwaka Tanzania watoto183,800 wanakufa, 45,000 kati ya hao ni watoto wachanga
-Kila siku watoto 500 chini ya umri wa miaka mitano wanakufa,123 kati yao ni watoto wachanga
-Kila saa watoto 20 chini ya umri wa miaka mitano anakufa
Vifo hivi vinasababishwa na malaria, utapiamlo,kuharisha, nimonia ,ukimwi na upungufu mkubwa wa damu na vile vinavyotokana na huduma duni ya uzazi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.